『Serikali kudhibitisha umuhimu wa wahamiaji kwenye uchumi』のカバーアート

Serikali kudhibitisha umuhimu wa wahamiaji kwenye uchumi

Serikali kudhibitisha umuhimu wa wahamiaji kwenye uchumi

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る

このコンテンツについて

Waziri wa Mambo ya Ndani, Tony Burke, anasema kwamba serikali inafanya kazi juu ya uwezekano wa kutambua ujuzi wa nje ya nchi. Anasema hii itasaidia kuokoa muda na pesa kwa wahamiaji wenye ujuzi wanaotafuta kuhamia Australia. Katika hotuba yake kwa Klabu ya Waandishi wa Habari huko Canberra, Bw. Burke pia ametangaza mabadiliko kwenye akaunti za benki zisizotumika ili kukabiliana na utakatishaji wa fedha.
まだレビューはありません