『Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia』のカバーアート

Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia

Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る
Mwanahabari mstaafu wa kimataifa, Abdu Mtullya anasema vita vya Urusi na Ukraine havistahili na huenda vikaathiri zaidi uchumi duniani, ikiwamo Afrika. Vita hivyo vimesababisha kupanda kwa bei ya mafuta, Urusi ikiendelea kurusha makombora katika ngome za Ukraine, hali ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu mwaka wa 2014.
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません