Unamwabudu Mungu kwa Njia Gani?
カートのアイテムが多すぎます
ご購入は五十タイトルがカートに入っている場合のみです。
カートに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ウィッシュリストに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ほしい物リストの削除に失敗しました。
しばらく経ってから再度お試しください。
ポッドキャストのフォローに失敗しました
ポッドキャストのフォロー解除に失敗しました
-
ナレーター:
-
著者:
🎙️ Leo kwenye Neno la Leo
Leo tunajifunza simulizi ya Mika kupitia Waamuzi 17:3 na 17:10, 12–13. Mika hakumkataa Mungu, bali alianza kumwabudu kwa njia aliyoichagua mwenyewe. Alitengeneza sanamu, akaajiri kuhani na akaamini kwamba hayo yangemletea baraka za Mungu. Kupitia simulizi hii tunajifunza kwamba ibada ya kweli haijengwi juu ya mawazo, desturi au hisia zetu bali juu ya Neno la Mungu na utii kwake. Je, tunamwabudu Mungu kwa jinsi alivyojifunua katika Neno lake, au kwa jinsi sisi tunavyotaka awe?
Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja. 🙏📖✨
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません