『Unamwabudu Mungu kwa Njia Gani?』のカバーアート

Unamwabudu Mungu kwa Njia Gani?

Unamwabudu Mungu kwa Njia Gani?

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る

🎙️ Leo kwenye Neno la Leo

Leo tunajifunza simulizi ya Mika kupitia Waamuzi 17:3 na 17:10, 12–13. Mika hakumkataa Mungu, bali alianza kumwabudu kwa njia aliyoichagua mwenyewe. Alitengeneza sanamu, akaajiri kuhani na akaamini kwamba hayo yangemletea baraka za Mungu. Kupitia simulizi hii tunajifunza kwamba ibada ya kweli haijengwi juu ya mawazo, desturi au hisia zetu bali juu ya Neno la Mungu na utii kwake. Je, tunamwabudu Mungu kwa jinsi alivyojifunua katika Neno lake, au kwa jinsi sisi tunavyotaka awe?

Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja. 🙏📖✨

adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません