『Serikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara Podcast』のカバーアート

Serikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara Podcast

Serikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara Podcast

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る
Licha ya serkali kuahidi kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wadogo wadogo, bado mahangaiko yanashuhudiwa mwezi mmoja baada ya Kenya Kwanza kuchukua hatamu za uongozi. Wengi wa wafanyabiashara hao wanalalamikia kuongezwa kwa bei ya mafuta, na kusababisha hasara katika sekta ya matatu. Charles Macharia, mhudumu wa teksi na Jimmy Mwangi, mhudumu wa matatu wanatishia kugura biashara hii. Mwanahabari wetu Edwin Mbugua amefanya mazungumzo na baadhi ya wafanyabiashara hao katika Kaunti ya Nyeri.
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません