エピソード

  • UNAJUA KUWA MITANDAO YA KIJAMII NI FURSA YA AJIRA..?
    2026/04/28

    Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “Kampeni ya Fursa Sana” inayoratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili uizfahamu fursa zinazopatikana kwenye mitandao ya kijamii. Wawezeshaji wa Kipindi hiki ni Afisa Mawasiliano Mwandamizi kutoka TCRA Bi. Herieth Shija pamoja na Mhandisi Mohamed Bokko pia kutoka TCRA. Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

    L'articolo UNAJUA KUWA MITANDAO YA KIJAMII NI FURSA YA AJIRA..? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    50 分
  • FAHAMU UMUHIMU WA USHAURI WA KISAIKOLOJIA
    2026/04/28

    Karibu usikilize Kipindi cha Elimu Jamii kuhusu “umuhimu wa huduma ya ushauri wa Kisaikolojia” Mwezeshaji wa kipindi hiki ni Mtaalamu wa Saikolojia kutoka Kituo cha Tiba na Utengamao cha Anthonia Verna Kawe Mkoani Dar es salaam Bw. Asadi Mwengwa. Mtangazaji ni Agatha Kisimba.

    L'articolo FAHAMU UMUHIMU WA USHAURI WA KISAIKOLOJIA proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    42 分
  • Je nadhiri maana yake ni nini?
    2026/02/23

    Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, swali la msikilizaji Je nadhiri maana yake ni nini?

    L'articolo Je nadhiri maana yake ni nini? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    30 分
  • Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani?
    2026/02/23

    Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani?

    L'articolo Dhambi ya ulimwengu ni dhambi gani? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    31 分
  • Tofauti iliypo kati ya majini mapepo, majini na shetani hususani katika Agano jipya?
    2026/02/23

    Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, swali la msikilizaji tofauti iliyopo kati ya majini mapepo na shetani hususani katika Agano jipya?

    L'articolo Tofauti iliypo kati ya majini mapepo, majini na shetani hususani katika Agano jipya? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    30 分
  • Kwanini Mashemasi hulala kifudifudi wakati wa daraja Takatifu na litania ya Watakatifu wote huimbwa?
    2026/02/23

    Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji Kwanini Mashemasi hulala kifudifudi wakati wa daraja Takatifu na litania ya Watakatifu wote huimbwa?

    L'articolo Kwanini Mashemasi hulala kifudifudi wakati wa daraja Takatifu na litania ya Watakatifu wote huimbwa? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    28 分
  • Fahamu maana ya baraza la Maaskofu
    2026/02/23

    Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Desderius Mwangaluka kutoka Seminari Kuu Ya Mtakatifu Augustino Jimbo Kuu La Songea, akijibu swali la msikilizaji nini maana ya baraza la maaskofu?

    L'articolo Fahamu maana ya baraza la Maaskofu proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    28 分
  • Unafahamu tofauti kati ya mapepo na masheta?
    2026/02/18

    Karibu katika kipindi cha maswali Yahusuyo Imani, Mwezeshaji wa kipindi ni Frater Franco Abel kutoka Jimbo Katoliki Mafinga akijibu swali la msikilizaji juu ya Tofauti kati ya Mapepo na Mashetani?

    L'articolo Unafahamu tofauti kati ya mapepo na masheta? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    27 分