Mwanadamu Anapomwacha Mungu, Hugeuka Kama Mnyama! Hadithi ya Mlawi na Suria Wake.
カートのアイテムが多すぎます
ご購入は五十タイトルがカートに入っている場合のみです。
カートに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ウィッシュリストに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ほしい物リストの削除に失敗しました。
しばらく経ってから再度お試しください。
ポッドキャストのフォローに失敗しました
ポッドキャストのフォロー解除に失敗しました
-
ナレーター:
-
著者:
Leo kwenye Neno la Leo
Leo tunaangalia hadithi ya Mlawi na suria wake kupitia Waamuzi 19. Sura hii ni mojawapo ya sehemu za kusikitisha zaidi katika Biblia, ikionyesha jinsi taifa la Israeli lilivyokuwa limefika mbali na Mungu. Kupitia hadithi hii tunajifunza kwamba jamii inapomwacha Mungu na kila mtu kufanya alichoona kuwa sawa machoni pake, maadili, haki na utu wa mwanadamu huanza kuporomoka. Je, tunamruhusu Mungu aendelee kutawala mioyo yetu, au tumeanza kuishi kwa viwango vinavyoamuliwa na ulimwengu?
Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja. 🙏📖✨
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません