『Mbona Magari ya Umeme? | Uchumi na Biashara Podcast』のカバーアート

Mbona Magari ya Umeme? | Uchumi na Biashara Podcast

Mbona Magari ya Umeme? | Uchumi na Biashara Podcast

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る
Baadhi ya kampuni za uagizaji na uuzaji wa magari nchini zimebadili mwelekeo na sasa zinajitosa katika uagizaji wa magari yanayotumia umeme. Kampuni ya hivi punde kufanya hivyo ni ya BasiGo na ya kwanza kuagiza mabasi 15 ya umeme ambayo yalitengenezwa na Kampuni ya BYD Automotive iliyo nchini Uchina. Mabasi haya tayari yamewasili nchini kupitia Bandari ya Mombasa na yanatarajiwa kutoa huduma za uchukuzi jijini Nairobi. Lakini je, mbona wafanyabiashara waanze kufuata muelekeo wa uagizaji wa magari ya umeme? Robert Menza amewahoji baadhi ya washikadau katika sekta hiyo
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません