Je, Tumaini Lako Limejengwa Juu ya Nini?
カートのアイテムが多すぎます
ご購入は五十タイトルがカートに入っている場合のみです。
カートに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ウィッシュリストに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ほしい物リストの削除に失敗しました。
しばらく経ってから再度お試しください。
ポッドキャストのフォローに失敗しました
ポッドキャストのフォロー解除に失敗しました
-
ナレーター:
-
著者:
🎙️ Leo kwenye Neno la Leo
Leo tunahitimisha simulizi ya Mika kupitia Waamuzi 18:23–24 na 18:30–31. Baada ya sanamu za Mika kuondolewa, aligundua kwamba tumaini lake lilikuwa limejengwa juu ya vitu alivyovitengeneza mwenyewe. Kabila la Dani nalo likaendelea na mfumo wake wa ibada, licha ya Mungu kuwa tayari ameonyesha jinsi anavyotaka kuabudiwa. Kupitia simulizi hii tunajifunza kwamba ibada ya kweli hujengwa juu ya Neno la Mungu, na kwamba kile tunachokitegemea zaidi ndicho kinachoweza kuwa “mungu” wetu. Je, tumaini letu limejengwa juu ya Mungu wa kweli, au juu ya vitu vinavyoweza kupotea?
Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja. 🙏📖✨
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません