Hitimisho la Kitabu cha Waamuzi: Nani Ameketi Kwenye Kiti cha Enzi cha Maisha Yako?
カートのアイテムが多すぎます
ご購入は五十タイトルがカートに入っている場合のみです。
カートに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ウィッシュリストに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ほしい物リストの削除に失敗しました。
しばらく経ってから再度お試しください。
ポッドキャストのフォローに失敗しました
ポッドキャストのフォロー解除に失敗しました
-
ナレーター:
-
著者:
🎙️ Leo kwenye Neno la Leo
Leo tunahitimisha kitabu cha Waamuzi kupitia Waamuzi 21:25. Baada ya safari ndefu ya kuona ushindi, kuanguka, toba na kurudia makosa yale yale, Biblia inatupa hitimisho moja lenye uzito: “Kila mtu alifanya alivyoona ni vyema machoni pake.” Kupitia hitimisho hili tunajifunza kwamba chanzo cha machafuko ya Israeli hakikuwa ukosefu wa viongozi au nguvu, bali kumwondoa Mungu katika kiti cha enzi cha mioyo yao. Je, ni nani anayeyaongoza maamuzi yako leo, maoni yako mwenyewe, sauti ya dunia au Neno la Mungu?
Karibu tusikilize, tutafakari na kuhitimisha pamoja safari yetu ya kitabu cha Waamuzi. 🙏📖✨
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません