Hatari ya Kumuacha Mungu na Kufuata Moyo Wako!
カートのアイテムが多すぎます
ご購入は五十タイトルがカートに入っている場合のみです。
カートに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ウィッシュリストに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ほしい物リストの削除に失敗しました。
しばらく経ってから再度お試しください。
ポッドキャストのフォローに失敗しました
ポッドキャストのフォロー解除に失敗しました
-
ナレーター:
-
著者:
🎙️ Leo kwenye Neno la Leo
Leo tunaanza sehemu ya mwisho ya kitabu cha Waamuzi kupitia Waamuzi 17:6. Neno la Mungu linaonyesha hali ya kusikitisha ya Israeli ambapo kila mtu alianza kufanya alichoona kuwa sawa machoni pake badala ya kumruhusu Mungu kuwa mwongozo wa maisha yake. Kupitia kipindi hiki tunajifunza kwamba tunapoacha kutafuta mapenzi ya Mungu na kuongozwa na hisia zetu wenyewe, tunaweka msingi wa machafuko ya kiroho na kupoteza mwelekeo. Je, maamuzi yako yanaongozwa na Neno la Mungu au na kile unachokiona kuwa sahihi?
Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja. 🙏📖✨
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません