『Hatari ya Kumuacha Mungu na Kufuata Moyo Wako!』のカバーアート

Hatari ya Kumuacha Mungu na Kufuata Moyo Wako!

Hatari ya Kumuacha Mungu na Kufuata Moyo Wako!

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る

🎙️ Leo kwenye Neno la Leo

Leo tunaanza sehemu ya mwisho ya kitabu cha Waamuzi kupitia Waamuzi 17:6. Neno la Mungu linaonyesha hali ya kusikitisha ya Israeli ambapo kila mtu alianza kufanya alichoona kuwa sawa machoni pake badala ya kumruhusu Mungu kuwa mwongozo wa maisha yake. Kupitia kipindi hiki tunajifunza kwamba tunapoacha kutafuta mapenzi ya Mungu na kuongozwa na hisia zetu wenyewe, tunaweka msingi wa machafuko ya kiroho na kupoteza mwelekeo. Je, maamuzi yako yanaongozwa na Neno la Mungu au na kile unachokiona kuwa sahihi?

Karibu tusikilize, tutafakari na kujifunza pamoja. 🙏📖✨

adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません