『GMO na hofu kuhusu bei masokoni | Uchumi na Biashara Podcast』のカバーアート

GMO na hofu kuhusu bei masokoni | Uchumi na Biashara Podcast

GMO na hofu kuhusu bei masokoni | Uchumi na Biashara Podcast

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る
Katika Makala Uchumi na Biashara Podcast, mwanahabari wetu wa Kaunti ya Trans Nzoia, Martin Ndiema amesema na wakulima ili kubaini ikiwa wameridhia kupanda mimea iliyoboreshwa kwa njia ya kijenetiki yaani GMO. Wapo ambao wamekumbatia na wengine kuirai serikali kuutafakari upya kuhusu uamuzi huo wa Baraza la Mawaziri wa kupitisha GMO. Aidha, amesema na mtaalamu wa mimea akizamia ubora wa mazao ya mimea ya GMO, soko la kimataifa na usalama wa chakula kwa matumizi ya binadamu.
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
まだレビューはありません