『Elimu Podcast; Baraza la Kiswahili; Prof. Kandagor Mosol-CHAKITA』のカバーアート

Elimu Podcast; Baraza la Kiswahili; Prof. Kandagor Mosol-CHAKITA

Elimu Podcast; Baraza la Kiswahili; Prof. Kandagor Mosol-CHAKITA

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る

概要

Harakati za kuhakikisha kuwa Kenya inakuwa Baraza la Kiswahili zimeshika kasi. Wizara ya Michezo na Utamaduni imeandaa warsha (tarehe 11 na 12 Novemba, 2021) jijini Nairobi na kuwashirikisha waandishi, wahadhiri na wawakilishi wa vyama vya Kiswahili kikiwamo CHAKITA, ili kujadili suala hili. Sikiliza podcast hii ambapo Geoffrey Mung'ou anamhoji Profesa Kandagor Mosol, Mwenyekiti wa CHAKITA vilevile mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Moi.
まだレビューはありません