『CBC irekebishwe; Humphrey Obarah』のカバーアート

CBC irekebishwe; Humphrey Obarah

CBC irekebishwe; Humphrey Obarah

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る

このコンテンツについて

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Talanta Duniani Profesa Humphrey Oborah, ambaye alivumbua kifaa cha kupima talanta na uwezo wa mwanafunzi kimasomo anaiataka serikali mpya kuifanyia sekta ya elimu nchini mageuzi ili kuhakikisha kuwa inaafikia malengo yake. Obarah anapendekeza Wizara ya Elimu kufanyiwa marekebisho na kuundwa kwa Wizara ya Masomo ambayo itahakikisha kuwa mageuzi yanafanyika katika sekta ya elimu nchini. Kwenye mazungumzo na Faith Kutere, Oborah aidha anapendekeza Mtaala wa Umilisi CBC kurekebishwa ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata elimu bora.

CBC irekebishwe; Humphrey Obarahに寄せられたリスナーの声

カスタマーレビュー:以下のタブを選択することで、他のサイトのレビューをご覧になれます。