5. Ubatizo wa Yesu na Upatanisho wa Dhambi (Mathayo 3:13-17)
カートのアイテムが多すぎます
カートに追加できませんでした。
ウィッシュリストに追加できませんでした。
ほしい物リストの削除に失敗しました。
ポッドキャストのフォローに失敗しました
ポッドキャストのフォロー解除に失敗しました
-
ナレーター:
-
著者:
このコンテンツについて
Bwana Mungu(God) wetu amekata pingu za dhambi kwa ajili ya watu wote. Wote wanaotaabika chini ya dhambi ni watumwa. Yeye ameondoa dhambi zetu zote. Je, yupo yeyote ambaye bado anateseka kutokana na dhambi?
Inatupasa kuelewa kwamba vita vyetu dhidi ya dhambi vimekwisha. Hatutateseka tena kamwe kutokana na dhambi. Utumwa wetu wa dhambi ulikoma Yesu alipotukomboa; dhambi zote zilikoma hapo hapo. Dhambi zetu zote zimefanyiwa upatanisho na Mwana Wake. Mungu(God) alilipia dhambi zetu zote kupitia Yesu, ambaye alituweka huru, milele.
Je, unajua jinsi watu wanavyoteseka kutokana na dhambi zao? Ilianza tangu wakati wa Adamu na Hawa. Wanadamu wanateseka kutokana na dhambi walizorithi kutoka kwa Adamu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35