3. Tukifanya mambo kwa mujibu wa Torati, je, inaweza kutuokoa? (Luka 10:25-30)
カートのアイテムが多すぎます
ご購入は五十タイトルがカートに入っている場合のみです。
カートに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ウィッシュリストに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ほしい物リストの削除に失敗しました。
しばらく経ってから再度お試しください。
ポッドキャストのフォローに失敗しました
ポッドキャストのフォロー解除に失敗しました
-
ナレーター:
-
著者:
概要
Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”
Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa kirahisi na hubaki wasiotambua upande wao wa uovu. Tumezaliwa bila kujijua, lakini bado tunaishi kana kwamba tunajijua. Kwa sababu watu hawajijui, Biblia hutuambia kwamba sisi ni wenye dhambi.
Watu huzungumza juu ya kuwapo kwa dhambi zao wenyewe. Nao hawawezi kutenda mema, lakini hujipendelea kujieleza kuwa wema. Wanataka kujisifu kwa matendo yao mema na kujionyesha. Husema kwamba wao ni wenye dhambi, lakini hutenda kana kwamba ni wema sana.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
まだレビューはありません